Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2017

Shair la dua marhum shekh juma

.. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Ijumaa njema imetimu Nayakumbuka yazamani Aliyafanya  yamuhimu Pale mitunduruni Shekh huma marhumu Sito msahau asilani *Ewe mola mrehemu Shekh wetu JUMA mpondoo* Siku kama ya Leo Hawakosi kusanyika Wakifanya maendeleo Kwa matendo yalotukuka Dhikiri zenye cheo Nyumbani kwake ukifika *ewe mola wetu mrehemu Shekh wetu JUMA mpondo* Alitujuza yamuhimu Akatutoa kizani Alikirimiwa nakarimu Akapewa macho ya nyoyoni Alitujuza umuhumu wakusoma qur.ani *ewe mola wetu mrehemu Shekh wetu JUMA mpondo* Naikumbuka Siku moja Alikua nyumbani kwake Alikuja MTU mmoja Akasema shida yake Anataka elfu moja Ahudumie family yake *ewe mola wetu mrehehemu Shekh wetu JUMA mpondo* Akaagiza elfu tano Apewe MTU yule Napaketi yangano Watoto wake wakale Akanyanyua mikono Nakushukuru palele *ewe mola wetu mrehem Shekh wetu JUMA mpondo* ikaf...

Shairi la tauhid

. *TAUHIIDI NDIO DINI TUSIJE IVUNJA DINI YETU* .. Yuu pwekee yeye mola Tena hana mshirika Asie kunywa wala kula Tena aametukuuka Hana yeye wa mbadala Atumikiwa namalaika *Tauhidi ndio dini tusiivunje diniyeetu* Ameumba kila kitu Tena yeye hakuchoka Zimesimama mbingu bila kitu Hakuna alozishika Kaumba majini nao watu Nawale wa so fahamika *tauhidi ndio dini tusiivunje dini yetu* Wana hekima niwaambieni Tauhiidi tumefunzwa Tena tusije ua imani Peponi tuakaja fukuzwa Tuzidishe zetu imani Peponi tuje ingizwa *tauhiidi ndio dini tusiivunje dini yetu* Hana mshirika mola wetu Wala yeye hana mfano Ametukuka mola wetu Haiitaji mashindano Tusimshirikishe mola wetu Tukaja kipata kibano *tauhiidi ndio dini tusiivunje dini yetu* Yaa ilahi mola wetu Bariiki wana hekima Tufutie makosa yetu Utujaze nayo hekima Tukumbatie dini yetu Tusije iwacha nyuma *TAUHIIDI NDIO DINI TUSIIJE IVUNJA DINI YETU*

Sumulizi twabibu wakiroho

. ... *SEHEM YA:10* Twabibu Wakiroho mtunz hud HUD Ilipo ishia Mama akiwa analia juu ya mwanae dhulfa alisema mengi akijiona ni mwenye  matatizo yalianza kwasabrina sasa ni dhulfa yamekua afadhali ya Sabrina maana haya yamempoteza kabisa dhulfa.  Kwaupande wa baba yeye mawazo yake hayakuapo kabisa kwa dhulfa muda mwingi alishika kipande chaskio kikicho bakia baada ya ku nyofolewa na BINT yake Sabrina Sasa endelea.... wakati watatizo lakini alihis maumivu lakin alivumilia . *tumtafuteni twabibu wakiroho anaweza kutusaidia mbona alimsaidia sabrinina* Alisema mmoja wa ndugu *Ndio yule ustadh anaweza kutusaidia* Akajibu mwingine *sawa jamani angalau nimpate mwanangu jamani* Akasema mama kwa uchungu mwisho wakakubalina wamtafute ustadh hud hud popote alipo Kwa mzee jangalo Japo usiku uliingia na alikua kisha panda kitandani kwake  Lakin hakupata usingizi mapema aliwaza kesho ni ijumaa siku zina kwenda akiwa na ham pakuche arudi kule aliko hakikishiwa kupata anac...

Simulizi twabibu wakiroho

. *SEHEM YA 9* Twabibu wa kiroho Mtunz HUD HUD Ilipo ishia Kisha akasema kumwambia BINT *a anti Aasia* (Je wewe ni Asia?) *naam anaa huwa* (Ndio mimi ndie) Bint akajibu kisha akauliza *hal taarifuni walaa ahadun yaarifu ismii Ila anaa wa abii* .(je wanifaham kwani hakuna ane jua jina langu zaidi ya mimi na baba yangu ) ustadh akasogea karibu kisha akamwambia Sasa endelea..... *ka annaki laa taarifu Anna llah aalimu  alaa kulli shay iin. Li .annahu huwa l khaaliqu* (Kana kwamba we hutambui yakua allah anajua kila kitu kwakua yeye ndie muumbaji) Maneno mazito yalimfanya binti kumtizama kwaumakini kabla hajasema chochote ustadh akasema *naam ra aituki fil manaami wa anti taqraiinal qur anwa araftu ismuki* (Naam nimekuona usingizini(kuota) ukisoma qur ana na nikafahamu jina lako) *shukran wa zaadaka llah ttaqwa* (Ahsante na azidishe mungu uchamungu kwako)  Bi Asia akajibu nakugeuka nakurudi ndani Hall akimuacha ustadh nje yanyumba Mara mzee Abdul raashid (baba...

Simulizi twabibu wakiroho

... *SEHEM YA 8* Twabibu Wakiroho Mtunz HUD HUD Ilipo ishia.. Majibu hayo yalimfanya mzee kua namawazo tele.  Kwani aliwaza kesho kutwa ndio jumamosi  itakuaje   wakati anawaza hivyo Mara kundikubwa LA mifugo lilikua likiingia katika zizi kubwa lanyumba hiyo mzee alipo tazama kwamakini aliona wanyama aina nyingi  ng'ombe mbuzi kondoo punda sungura na wanyama wengine asio wajua ajabu pamoja nakundi kubwa lakini halikua namtu liliingia lenyewe zizini nabinti akafunga mlango ... Sasa endelea ... Mze alitizama akajiuliza amswali mengi lakini hakupata jibu akajikuata akigeuza nakuondoka Mara alaskia sauti ikimwabia *kama unashida namfugo babayangua anauza* Mzee alipo skia hivyo kwaharaka akageuka nakuuliza *baba yako yuko wapi* bint akamjibu *amekwenda kutafuta futari shambani* *ftari ndio nin* akauliza mzee *chakula kwajili yakula maghribi kwani we si mwisla hufaham kua tupo katika mfungo wara madhani* Bint alijibu nakuuliza *ah sawa bint yangu mda ga...

Simulizi twabibu wakiriho

... *SEHEM YA 7* Twabibu Wakiroho Mtunz HUD HUD Ilipoishi wanakijiji waliogopa sana msitu huo.   Familia ya dhulfa walibaki katika kilio hali hawajui nini wafanye wakibaki pale karibu na msitu mpaka paka kucha na mwanga ukajitokeza wakastaajabu kuona damu nyingi mno namichirizi wakaifuata mpaka nyumbani walistaajabu kuona kumbe dhulfa kabla ya kumkamata mbuzi akianza na paka na alimtafuna akabakisha kichwa Hakika dhulfa alibadilika nahakua binadamu tena Sasa endeleaa...... Alipotelea msituni na hapakua na matarajio yakumpata Kwamzee jangalo Yeye Leo aliamua tena kutembea maeneo mbali mbali ili aweze kupata wannyama alo wahitaji  katika tembea yake alikuta mahala kibao kimendikwa *mnada mkubwa wamifugo hapa* Akasogea mpaka katika nyumba moja akaskia kwaupande wadirisha dogo sauti ikiimba kwauzuri wasauti ile akajisemea mwenyewe *kweli katika maisha yangu sijawahi kuusikia huu wimbo* akasogea mpaka mlangoni akagonga mlanga maranyingi asiitikiwe akaamua kupaza nasa...

Simulizi

.. *SEHEM YA 6* Twabibu Wakiroho Mtunz HUD HUD Ilipo ishia              *umeteseka na huyu kiumbe MWENYE Shari  ila sasa waweza rudi kwako* alisema ustadh hud hud kisha akaondoka ndio kawaida yake akitoa msaada hasubiri shukran mzee jangalo nae aka geuza nakurudi kwake alipo fika kwake alikua na mawazo mengi mno atapataje wanyama kwajili yakazi yake ukizingatia Siku moja ilisha potea sasa na inaingia siku ya alhamis inabaki Siku moja tu na jumamosi watu wanne watakuja kuoa kwake na yeye anabint mmoja tu Sasa endelea. Kwa kina sabrina Huku wao walikua wamelala mama na baba wa Sabrina wakiwa na imani yao kua BINT yao amepona na sasa  wakiwa katikati ya usingizi Mara wakaskia kelele za mbuzi katka zizi baba akaamua kutoka natoch alipo fika nje chajabu akamkuta MTU kamkamata mbuzi anamtafuna kutizama kwaumakini ni BINT yake mdogo yani mdogo wake wasabrina alimshika mbuzi vyema na kuanza kumg'ata katika ubavu mbuzi...

Simulizi twabibu wakiroho

.. *SEHEM YA 5* Twabibu Wakiroho Mtunz HUD HUD Ilipo ishia                       mzee aka mtoa kwanguvu paka bado alikua mbishi hakutaka kushuka kifuani kwa mzee jangalo. Bali alilia kwa Sauti na mingurumo ya ajabu  hali ambayo ilizidi kumtisha mzee jangalo kwani paka yule licha ya kung'ang'ania kifuani pia alitoa Sauti Mara yamwanamke Mara kicheko cha mwanaume Mara kilio chamtoto     Hali ilikua ta tabu    wakati mzee jangalo anapata tabu akajikuta anamsemesha paka yule kwakumwambia *shuka Bas lakin* Mara akaskia paka akimjibu Sasa endelea... *nirudishe ulipo nitoa*   hali hii ilizidi sana kumchanganya mzee akijikuta akizidi sana kuogopa   mzee ikabidi atoke kumrudisha paka yule kilicho mtisha zaidi ni jins paka yule licha ya kuganda kifuani lakin Alikua akibadilika katika mabile tofauti tofauti kama umbile LA ndege ha...

Simulizo twabibu wakiroho

.. *SEHEM YA 4* Twabibu Wakiroho Mtunz hud  hud Ilipo ishia *Mama kuna nini hapa* aliuliza Sabrina  mama akasema *alhamdu Lilah mwanangu umepona* Muda huo yule kijana kesha ondoka hawakuona wapi kaelekea. Mmoja akauliza *huyu bwana kama nilisha wahi kumuona vile* Mwenzie akajibu *huyu jinalake anaitwa ustadh Hud Hud lakin ukiuliza Twabibu Wakiroho ndo unampata* Sasa endelea Yeye Alisha fika mda alikua akiwaza namna ya kupa mtoto wang'ombe mbuzi kondoo na paka akaamua atoke atembee mtaani huenda akapata mwangaza akafika hadi katika kijiji cha jirani  Akamuona mtoto wapaka mweusi akiwa  amelala chini ya mti mzee jangalo alipo hakikisha kua hakuna anae muona akamchukua nakuanza njia ya kuelekea kwake     kwa mwendo alo kua nao hakutumia mda mrefu akafika kwake akamuweka paka ndani kwake kisha akajisemea moyoni. *Ha hapa nimewini saiv naitaji ngombe mbuzi nakondoo* Alishinda na paka yule had kiza kika ingia mda fulani alipo toka nje naku...

Simulizi twabibu wakiroho

.. *SEHEM YA 3* Twabibu wakiroho Mtunz hud hud Ilipo ishia *ana jini mwenye nguvu sana*alisema nmoja wao bado binti huyo Ali nguruma sauti yake ilio kua Kali mno ilifanya ndege walio kua kwenye miti kutawanyika *Sabrina mwanangu acha kuleta vurugu utaumia*alisema baba yake huku akimsogelea lakin Sabrina hakumtambua tena alimshika kama kashika kitu chepesi mkononi aka mng'ata Sasa endelea.. na kumtupa mbali tu nduguze walimuwahi baba alilia mno kwasauti Kali wakati Sabrina alikua ajichekelea huku akitafuna kitu   *baba Sabrina nyamaza* alisema mama Sabrina kumwambia mumewe  na mumewe akaongeza kilio huku akimnyooshea kidole mwane Sabrina *anatafuna skio langu*maneno hayo yaliwashtua wote walipo tizama kwa umakini nikweli Sabrina alinyofoka na skio LA baba yake na sasa alikua akilitafuna mfano wa MTU anae tafuna nyama choma alipo maliza akaanza kuwasogelea nao wakaamua kuanza kukimbia nae hakusita alianza kuwakimbiza Mara tu aka mkamata mama yake nakusogeza mdomo ya...

Simulizi twabibu wakirohi

.. *SEHEM YA 2* Twabibu Wakiroho  Mtunz HUD HUD Sehem ya 2 Ilipo ishia ..... Katia kichaka hiko palikua nakiza  kilicho mfanya mzee jangalo kutembea kwakukisia muda kidogo akaona mwanga wakibatari  akajipamoyo kesha fika anapoenda Mara akaskia sauti ikitokea nyuma take Sasa endelea..... *unataka nini mzee jangalo nyakati hizi* ni sauti ilio tisha lakini mzee jangalo alionekana kua mzoefu wa kuja hapo hakushtuka akageuka akamuona MTU mrefu mzee mwenye nywele ndefu nanyingi *kiongozi sadawari mim nineharibu mtaani nime pokea posa ya bint yangu kwa vijana wa 4na Mimi Nina BINT mmoja tu* alisena mzee jangalo nakunyamaza kidogo kisha akaendelea *hivyo naitaji msaada wako kila kijana apate mke*baada yakusema hayo alipo geuka kumtizana bwana sadawari hakumuona ghafa mbele yake yakatokea maandisha ya lio jichora hewani alipo soma akagundua ni magizo kapewa alipo yaelewa aligeuka na kuondoka akiwa njiani aka kumbuka kua  maandi Yale yaliandikwa *tafuta watoto wawan...

Simulizi twabibu wakiroho

*Karibu katika simulizi hii mpya* *Twabibu Wakiroho* Nisimulizi utae ifurahia mwanzo wake mpaka mwisho wake ukiisoma kwa umakini Izingatiwe kua Nisheria kwamwana group kila anapo soma simulizi kukoment jins ilivyo mgusa hio nisheria zaid ya hapo usilaumu ukitolewa Pia nimesikiliza maoni ya wengi nakufanya simulizi kua na vipande vifupi visivyo chosha Tanbih Majina yalo tumika humu huwenda baadhi yetu yanatuhusu Faham Mwandishi hakumkusudia yeyote katika sisi ila ni majina tu yana fanana *natumai mmenielewa* Sasa tuianzeni  simulizi yetu. Ya *Twabibu wakiroho* Sehem  1 Mtunzi Dr Hud hud Email . Drhudhudonline@gmail.com. Bolg. Www.mrhudhud.blogspot.com Majirani wawili mwajuma na Jasmin wakiwa wamekaa na mazungumzo yao yakawaida tu Mara bwana mmoja akapita akitokea kwa mzee jangalo huku akiwa na furaha sana mwajuma akamwita *Hamisi vip mbona una furaha kias hiko* alisema mwajuma huku akumtizama *mzee jangalo amekupa nini*aliongeza Jasmin  bwana hami...